Banda la Tanzania kwenye maonyesho ya utalii yaliyofanyika mjini Montreal, Canada hivi karibuni. Mwakilishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Bw. Steven Lelo Mallya akihojiwa na waandishi wa habari wa shirika la habari la FUTURMEDIA la Montreal. Waandishi hao walitaka kujua mikakati ya NCAA ya kutangaza vivutio vya Tanzania nchini Canada. Balozi wetu Canada Mh. Alex C Massinda akihojiwa na waandishi wa habari wa shirika la FUTURMEDIA la Montreal. Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania,
Canada wakiwa kwenye maonyesho ya Utalii ya Montreal. Mheshimiwa Balozi Alex C Massinda akiwa na baadhi ya washiriki kutoka Tanzania waliohudhuria maonyesho ya utalii yaliyofanyika Montreal hivi karibuni.
0 comments:
Post a Comment