TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, November 16, 2010

Banda la tanzania latia fora maonesho ya utalii canada

2:16 PM

Banda la Tanzania kwenye maonyesho ya utalii
yaliyofanyika mjini Montreal, Canada hivi karibuni.
Mwakilishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Bw. Steven Lelo Mallya akihojiwa na waandishi wa habari wa shirika la habari la FUTURMEDIA la Montreal. Waandishi hao walitaka kujua mikakati ya NCAA ya kutangaza vivutio vya Tanzania nchini Canada.
Balozi wetu Canada Mh. Alex C Massinda akihojiwa na waandishi wa habari wa shirika la FUTURMEDIA la Montreal. Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania,
Canada wakiwa kwenye maonyesho ya Utalii ya Montreal. Mheshimiwa Balozi Alex C Massinda akiwa na baadhi ya washiriki kutoka Tanzania waliohudhuria maonyesho ya utalii yaliyofanyika Montreal hivi karibuni.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA