TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, June 22, 2010

Ajali ya ndege msituni Congo haina manusura

5:06 PM

Maafisa wakuu nchini Congo wamethibitisha kutokuwepo manusura wa ajali ya ndege iliyotokea kati ya msitu wa Congo Brazaville na Cameroun siku ya Jumanmosi.

Ndege hiyo ilikuwa imewabeba wakurugenzi ya makampuni ya madini wengi wakiwa raia wa Australia.

Watu hao akiwemo mfanyabishara na tajiri mkubwa nchini Australia, Ken Talbot walikuwa safarini kutoka Cameroun kuzuru mgodi wa chuma, nchini Congo.

Takriban Maiti wote walipataikana, ingawa waziri wa mambo ya nje wa Australia,itachukua muda kabla ya kuwatambua na kisha kuwarejesha nyumbani maiti.

Kiini cha ajali kingali kujulikana.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA