Kwa mujibu wa mtandao wa SUPERSPORT, ambapo umesema kuwa michezo hiyo itatangazwa hapo baadaye baadaya ya nyaraka zote kupelekwa kwa shirikisho la soka la vyama huska vya nchi hizo mbili.
Maafisa wa shirikisho la soka la BRAZIL ambao wameiambia tovuti hiyo wamesema kuwa michezo hiyo itachezwa June 2 na 7 kabla ya BRAZIL haijacheza mchezo wake wa kwanza wa fainali za kombe la dunia dhidi ya KOREA KASKAZINI june 15.
Shirikisho la soka hapa nchini kupitia msemaji wake FLORIAN KAIJAGE, amesema kwa sasa hana taarifa kuhusiana na ujio wa timu hiyo ya taifa la BRAZIL, ambao ni magwiji wa soka dunani.
Hivi sasa BRAZIL ipo nchini mwake katika jiji la CURITIBA lilipo kaksazini mwa nchi hiyo wakiendelea na mazoezi
0 comments:
Post a Comment