TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, April 1, 2010

India kuwahesabu raia

10:39 PM

India leo inazindua sensa ya kuwahesabu raia wake wote, waliozidi umri wa miaka 15.

Wote watapigwa picha na alama za vidole kuchukuliwa, na kisha kuhifadhiwa kwa kutumia mbinu za kisasa za biometric.

Serikali kisha itayatumia maelezo yaliyokusanywa katika kutoa vitambulisho.

Maafisa wa serikali watahitaji kipindi cha mwaka mmoja ili kupata maelezo yote wanayoyataka kuhusiana na jinsia, dini, kazi na elimu, kutoka kwa raia wake bilioni 1.2.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA