TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, January 19, 2010

Aliyemshambulia Papa John Paul kuachiliwa

4:22 PM
Mtu aliyejaribu kumuua Papa John Paul wa Pili yapata miaka 29 iliyopita, anaachiliwa huru kutoka gereza moja nchini Uturuki.
Mtu huyo Mehmet Ali Agca, ametumikia kifungo cha miaka 19 nchini Italia kwa kumpiga risasi Papa John Paul na miaka 10 mingine nchini Uturuki kwa shitaka la awali la mauaji.
Sababu ya Bw Agca kutaka kumuua Papa huyo imebakia kitendawili. Kwanza alisingizia idara ya polisi ya Bulgaria kuwa imemtuma na baadaye akaileza mahakama kuwa yeye ni masihi mpya.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA