TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, December 1, 2009

Masoko ya hisa Emarati yapata pigo

2:28 PM

Bei za hisa katika masoko ya Dubai na Abu Dhabi zimeonesha kushuka kwa kiasi kikubwa katika siku ya kwanza ya biashara tangu Dubai itangaze kwamba inataka kuchelewesha kulipa baadhi ya madeni yake.

Soko la hisa la Dubai lilifunga biashara kwa kiwango cha asilia mia 7 nukta 3. Abu Dhabi nako soko lilifunga kwa asili mia 8 nukta 3, hiki kikiwa kiwango cha chini kabisa kwa soko hilo .

Kushuka kwa bei za hisa a ya kidini za siku nne, wakati kampuni ya uwekezaji inayosimamiwa na serikali Dubai World, kusema inachelewesha kulipa deni lake la karibu dollar bilioni 60.

Benki kuu ya Emarati imesema itazisaidia benki za nchini na zile za kigeni zinaazofanya shughuli zake nchini humo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA