TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, November 14, 2009

TAMASHA LA WANAFUNZI NEW DELHI MSWANO

8:21 PM

Hawa ni baadhi ya wanafunzi wa Tanzania ambao wiki hii walishiriki tamasha la kimataifa la utamaduni na Urafiki katika jiji la New Delhi, India, wakiwa washiriki pekee wa Afrika ambapo nchi 14 zilishiriki kwa lengo la kuwaleta wanafunzi wa mataifa mbalimbali pamoja na kuweza kuonyesha utamaduni wao na kujenga urafiki.
washiriki wa Tanzania na wenzao toka Palestina
wakiwa na washiriki wa mataifa mbalimbali
mara baada ya tamasha wakiwa na mkuu wa kikundi Bw Nasser Kingu
ilikuwa furaha na urafiki katika utamaduni

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA