TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, November 10, 2009

mitambo ya Kampuni ya Dowans inaishikiliwa

11:58 PM
Ofisa wa Kampuni ya udalali ya Majembe Auction Mart Emmanuel Wambando akionesha mitambo ya Kampuni ya Dowans ambayo kampuni hiyo inaishikilia kufuatia idhini ya Mamlaka ya mapato nchini (TRA) inayoidai kodi ya zaidi ya sh Bilioni 9.120. Jana Majembe wamefunga kwa kufuli eneo hilo la mitambo iliyopo Ubungo Dar es Salaam.(Picha na Mroki Mroki).

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA