TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, November 8, 2009

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

7:51 PM
Ukumbi maarufu kwa burudani jijini Dar es salaam, Club Miasha uliyopoa Oysterbay umeteketea kwa moto mchana huu. Habari zilizopatikana muda mfupi uliyopita kutoka eneo la tukio zinsema kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa nane adhuhuri na ukumbi mzima wa disco umeteketa kabisa!!! Ukumbi huo umefanyiwa ukarabati mkubwa hivi karibuni na ulikuwa ni ukumbi unaochuana na Club Billicanas kwa viwango na upigaji disco. Picha za tukio zitawajia muda mfupi ujao.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA