TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, October 6, 2009

PINDA;USWISI

9:58 PM
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akipiga simu wakati Mkurugenzi wa Tanzania Youth Alliance (TAYOA), Peter Masika (kulia) akimweleza kuhusu mawasiliano ya elimu ya ugonjwa wa ukimwi kwa njia ya simu yanavyofanywa na taasisi hiyo. Pinda alitembelea banda la taasisi hiyo kwenye maonesho yanayokwenda sambamba na Mkutano Mkuu wa Shirika la Mawasiliano la kimataifa (ITU) mjini Geneva, Uswisi. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA