Mjane wa Marehemu wa aliyekuwa Meneja wa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, Chales Masanja, Devotha akiwa na waombolezaji wengine nyumbani kwake Kimara Kilungule Dar es Salaam kuomboleza kifo cha mumewe. Masanja alifariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuanguka kutoka ukutani. Wa pili kulia ni mtoto wa Marehemu, Mourine Masanja. (Picha na Mroki Mroki).Mjane wa Marehemu wa aliyekuwa Meneja wa Uwanja wa Uhuru,
Mjane wa Marehemu wa aliyekuwa Meneja wa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, Chales Masanja, Devotha akiwa na waombolezaji wengine nyumbani kwake Kimara Kilungule Dar es Salaam kuomboleza kifo cha mumewe. Masanja alifariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuanguka kutoka ukutani. Wa pili kulia ni mtoto wa Marehemu, Mourine Masanja. (Picha na Mroki Mroki).
0 comments:
Post a Comment