
Mkutano wa viongozi watatu unatarajiwa kufanyika katika hoteli moja jijini New york hii leo, katika juhudi za kurejesha mazungumzo ya amani kati ya Israel na Palestina.
Hata hivyo mkutano huo kati ya Barack Obama, Mahmoud Abbas na Benjamin Netanyahu umeitishwa baada ya marekani kushindwa kuwaweka ana kwa ana viongozi hao wawili kung'amua matatizo yao.
0 comments:
Post a Comment