Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni (kushoto) akipokea sehemu ya vifaa vya maabara zikiwemo darubini kwa ajili ya kusaidia upimaji wa kifua kikuu kwa wananchi toka kwa mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Misaada la Marekani (USAID), Elise Jensen, Dar es Salaam jana. Katikati ni Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Deo Mtasiwa pamoja na Kiongozi mkazi wa Shirika la PATH, Dk. Mohamed Makame (Picha: Fadhil Akida). MSAADA KWA WIZARA YA AFYA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni (kushoto) akipokea sehemu ya vifaa vya maabara zikiwemo darubini kwa ajili ya kusaidia upimaji wa kifua kikuu kwa wananchi toka kwa mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Misaada la Marekani (USAID), Elise Jensen, Dar es Salaam jana. Katikati ni Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Deo Mtasiwa pamoja na Kiongozi mkazi wa Shirika la PATH, Dk. Mohamed Makame (Picha: Fadhil Akida).
0 comments:
Post a Comment