TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, August 27, 2009

Wavuvi watatu wahofiwa kufa

8:21 AM

Wavuvi watatu wanahofiwa kufa maji baada mtumbwi waliokuwa wakiutumia wakati wa kuvua samaki kuzama kufuatia kupigwa na upepo mkali.

Kamanda wa Mkoa wa Mwanza Jamal Rwambow ameiambia Alasiri kwa njia ya simu kuwa tukio hilo limetokea hivi karibuni, majira ya saa 5:00 usiku katika kambi ya uvuvi ya Migogo wilayani Sengerema.

Amesema wavuvi hao walikuwa kwenye mtumbwi wa kasia ambao haukuwa na namba za usajili.

Amewataja wavuvi wanaohofiwa kufa kuwa ni Marando, 43 ambaye anatokea eneo la Nyasake, Nagh'oyo, 30 kutoka Geita, Mseneku Kisena, 39 naye kutoka Geita. Amesema mvuvi mmoja Maulid Masudi wa Igoma, Mwanza aliokolewa akiwa hai.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA