TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, August 18, 2009

Rais wa GA kumuenzi Nyerere

7:36 PM
Rais wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa (GA) Miguel d'Escoto akiwa ameshika kinyago na Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, ambacho kimetolewa zawadi kwa Rais huyo na Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mathias Chikawe kwa kutambua mchango wa rais huyo katika kupigania nakutetea haki za watu wanyonge.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA