Rais wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa (GA) Miguel d'Escoto akiwa ameshika kinyago na Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, ambacho kimetolewa zawadi kwa Rais huyo na Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mathias Chikawe kwa kutambua mchango wa rais huyo katika kupigania nakutetea haki za watu wanyonge.
0 comments:
Post a Comment