Mwanasiasa mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru, amewajia juu baadhi ya viongozi wa Kanisa Katoliki nchini waliodai kuwa yeye ni fisadi na kuwataka wanaodhani kuwa ni wasafi kumzidi, wajitokeze hadharani.Kingunge awageuzia kibao maaskofu RC
Mwanasiasa mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru, amewajia juu baadhi ya viongozi wa Kanisa Katoliki nchini waliodai kuwa yeye ni fisadi na kuwataka wanaodhani kuwa ni wasafi kumzidi, wajitokeze hadharani.
0 comments:
Post a Comment