KUTOKA USWAHILINI ADI UGHAIBUNI
Sensei Rumadha Fundi ,kachukua Degree "Associate in Applied Science Cardiopulmonary Respiratory Care"
Si mwingine bali yule mtanzania mtaalamu wa michezo ya Karate na Yoga
Sensei Rumadha Fundi (3rd Dan,Black Belt ) mwenye maskani yake kule
marekani .
juzi 17 Mai 2013 Sensei Rumadha Fundi akishangiliwa na kupongezwa na
ndugu na marafiki waliomshuhudia akipokea Degree "Associate in Applied Science Cardiopulmonary Respiratory Care" "Collin College, McKinney, Texas, USA.
Sensei Rumadha Fundi
anongezea C.V yake kwa kula nondo ya utaalamu wa tiba za mapafu na moyo,Sensei Rumadha sasa amekuwa mtaalam
Respiratory Therapist: Mtaalam wa hewa na gas ya kupumua anaye tibu mapafu na moyo chini ya maelekezo ya mganga wa mapafu"pulmonalogist. Pia, Respiratory therapist anamajukumu mengi kama kuwatibu wagonjwa wa pumu,COPD,Ephysema,Asthma,TB na majonjwa yote yanayohusu mapafu na moyo.
Pia,anauwezo wa kutafsiri damu baada ya kupima hali yamgonjwa kama ana oxygen ya gas inahitaji tiba yeyote. Kwa mengi zaidi kuhusiana na utaalam wa Respiratory Therapist fuata Link ile ipo mwisho wa "Who is Respiratory Therapist? http://en.
Kumjua zaidi Sensei Rumadha Fundi bofya at http://dartalk.com/2013/04/
|
Sunday, May 19, 2013
0 comments:
Post a Comment