TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, May 26, 2013

ROBBEN AIBEBESHA UBINGWA WA ULAYA BAYERN KWA BAO LA DAKIKA YA 89 WEMBLEY

12:08 PM



Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund
Mabingwa: Bayern Munich wakisherehekea taji lao la Ligi ya Mabingwa baada ya kuifunga Borussia Dortmund
Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund
Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund
Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund

IMEWEKWA MEI 25, 2013 SAA 6:00 USIKU
WINGA Arjen Robben ameuzika mzimu wa kukosa penalti msimu uliopita katika fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Chelsea, baada ya usiku huu kuifungia bao la ushindi Bayern Munich katika fainali ya michuano hiyo Uwanja wa Wembley, London, England ikishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo.
Bayern sasa wanakuwa mabingwa wapya wa Ulaya, wakirithi taji lililoachwa wazi na Chelsea kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Wajerumani wenzao, Borussia Dortmund katika mchezo mkali na wa kusisimua.
Mholanzi huyo alifunga bao hilo tamu dakika ya 89, baada ya awali kipindi cha kwanza kukosa mabao mawili ya wazi. Lakini ndiye aliyetoa pasi ya bao la kwanza kwa Bayern lililofungwa na Mario Mandzukic dakika ya 60.
Dortmund ilisawazisha kwa penalti baada ya Dante kumuangusha kwenye eneo la hatari Marco Reus na Ilkay Gundogan akaenda kufunga dakika ya 67. 
Katika mchezo huo, uliochezeshwa na refa Nicola Rizzoli  kutoka Italia, kikosi cha Bayern kilikuwa; Neuer, Lahm, Boateng, Dante, Alaba, Javi Martinez, Schweinsteiger, Robben, Muller, Ribery/Gustavo dk90+1 na Mandzukic/Gomez dk90+4.  
Borussia Dortmund: Weidenfeller, Piszczek, Subotic, Hummels, Schmelzer, Bender/Sahin dk90+1, Gundogan, Blaszczykowski/Schieber dk90+1, Reus, Grosskreutz na Lewandowski.  
Dutch delight: Arjen Robben settled the Champions League final with a late, late strike
Bao la ubingwa: Arjen Robben amekuwa shujaa wa fainali ya Ligi ya Mabingwa usiku huu
Dutch delight: Arjen Robben settled the Champions League final with a late, late strike
Big chances: The first-half was the tale of two goalkeepers with Roman Weidenfeller denying Arjen Robben, and Manuel Neuer keeping Robert Lewandowski out
Champions League final
Champions League final
Controversy: Franck Ribery was lucky to escape punishment when his flailing arm caught Lewandowski in the face
Controversy: Franck Ribery was lucky to escape punishment when his flailing arm caught Lewandowski in the face
Controversy: Franck Ribery was lucky to escape punishment when his flailing arm caught Lewandowski in the face
Breakthrough: Robben finally wriggled free to set up Mario Mandzukic for the opener in the second half

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA