Kufuatia Kambi ya Upinzani kuukataa mpango wa serikali wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara Mpaka Dar es salaam ilihali Waziri wa Nishati akisoma hotuba yake Profesa Sospeter Muhongo alisema bomba la gesi linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar es salaam ndipo Wananchi wa Mtwara walicharuka! Daraja la Mikindani limevunjwa hakuna mawasiliano Mtwara na Dar es salaam.
Wednesday, May 22, 2013
0 comments:
Post a Comment