TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, May 22, 2013

MABOMU NA RISASI VYATAWALA HUDUMA ZA KIJAMII ZASITISHWA MTWARA

11:39 PM

Mabomu ya machozi yalirindima na huduma zote za kijamii zilifungwa pamoja na usafiri, masoko, maduka na bar zote zilifungwa, daladala, Taxi na Bodaboda hazikufanya kazi.Mapambano makali kati ya Jeshi la polisi na wananchi wenye hasira wanaopinga vikali kuendelea kwa mchakato wa gesi ilihali nchi ikiwa haina sera inayosimamia nishati hiyo.
Kufuatia Kambi ya Upinzani kuukataa mpango wa serikali wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara Mpaka Dar es salaam ilihali Waziri wa Nishati akisoma hotuba yake Profesa Sospeter Muhongo alisema bomba la gesi linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar es salaam ndipo Wananchi wa Mtwara walicharuka! Daraja la Mikindani limevunjwa hakuna mawasiliano Mtwara na Dar es salaam.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA