TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, May 21, 2013

BAADA YA MAPENZI KUAMISHIA KWA PREZZO, DIVA AANZA KUMCHOKONOA ZITTO KABWE.

10:24 AM

Baada ya kutangaza kumpiga chini Mh.Zitto Kabwe, Loveness Diva ameamua kumchokonoa tena kwa kumkejeli kuhusu uamuzi wake wa kugombea Urais.....
Huu ni ujumbe wake aliouweka instagram: 
".Ivi kwa akili yako unadhani unastahili kweli kuwa Rais mteule wa taifa hili....??


"Usiponijibu nikaridhika, basi ntakuchukulia kama mtu mwenye upeo finyu asiyejua alitendalo.."
credit:VIJIMAMBO BLOG

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA