![]() |
| Umati wa wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF hii leo umejitokeza kumpokea Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA aliyekuwa nchini Marekani kwa kazi maalum aliyopewa na Umoja wa Mataifa kwa lengo la kuangalia njia bora zinazoweza kutumika katika kurekebisha uchumi wa dunia uliporomoka hususani kwa mataifa yanayoendelea. BOFYA HAPA |
Monday, March 12, 2012

0 comments:
Post a Comment