TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, October 21, 2011

Tanzania yaitaka jumuiya ya kimataifa kusaidia Somali

2:35 PM
waziri wa mambo ya inje Tanzania, Bernard Membe
Serikali ya Tanzania leo imeitolea wito jumuiya ya kimataifa kutolipa kisogo eneo la Pembe ya Afrika ambalo wakati huu inaandamwa na hali ngumu ya ukosefu wa chakula na kusababisha wimbi kubwa la wakimbizi kutorokea katika nchi za jirani.
Wito huo umetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje Bwana Bernad Memba ambaye amesema jumuiya za kimataifa hazipaswi kukaa kimya zinawajibika kunyosha mikono ili kunusuru maisha ya mamilioni ya watu wanaoendelea kutaabika huko Somalia.
Waziri Membe alikuwa akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mdahalo ulioangazia nafasi ya Umoja wa Mataifa na mafungamano ya kimataifa.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA