TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, August 26, 2011

WAISLAMU WAALIKWA KATIKA SWALA YA IDD-EL-FITR jijini dar

11:09 PM


Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA Mkoa wa Dar es Salaam August 26,2011 imetoa taarifa ya kuwaalika waislam wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi katika swala ya IDD- El- FITR inayotarajiwa kuswaliwa siku ya Jumanne 30 Aug au Jumatano 31 Aug,2011 kutegemea na Muaandamo wa mwezi katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.Pichani Skeikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Sheikh Alhadi Salum akitoa taarifa hiyo mbele ya waandishi wa habari alipokutana nao leo, (kulia) ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkoa Dar es Salaam (BAKWATA) Sheikh Said Ponda na (kushoto ) Mjumbe wa Baraza la Masheikh Mkoa wa Dar es Salaam Sheikh Shukuru Kilakala. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO),

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA