Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimu waumini waliohudhuria swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais DK.Jakaya Kikwete akiwasalimu waumini walioshiriki swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani leo asubuhi jijini Dar.Picha na Freddy Maro.

Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wakiswali swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni mapipa jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
0 comments:
Post a Comment