Ngombe
mwenye jina la Mkapa Nzagamba akiongozwa na mmiliki wake, Mashishanga
kutoka Nkasi mkoani Rukwa katika mashindano ya mifugo Kitaifa
yaliyofanyika kwenye uwanja wa Nanenane, Nzuguni , Dodoma Augost 5,
2011. Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. (Picha na Ofsiya
Waziri Mku)
Ngombe
mwenye jina la Mkapa Nzagamba akiongozwa na mmiliki wake, Mashishanga
kutoka Nkasi mkoani Rukwa katika mashindano ya mifugo Kitaifa
yaliyofanyika kwenye uwanja wa Nanenane, Nzuguni , Dodoma Augost 5,
2011. Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. (Picha na Ofsiya
Waziri Mku)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, David
mathayo David wakikagua ufugaji wa kuku wa nyama na mayai wa kisasa
wakati walipotembelea banda la Balton Tanzania Limited kwenye
maonyesho ya Nanenane, Nzuguni, Dodoma Augost 5, 2011. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, MIzengo Pinda na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, David
Mathayo David waktazama ngoma wa kisasa wa maziwa katika mashindano ya
kitaifa ya mifugo yaliyofanyika kwenye uwanja wa Nanenane, Nzuguni
Mjini Dodoma Augost 5, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment