TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, August 8, 2011

JIULIZE......

3:46 PM
Ni Shirika letu la ndege la Taifa (ATC). Lilianzishwa mwaka 1973 likiwa na ndege 11. Kwa sasa hata hivyo hakuna hata ndege moja inayofanya kazi.

Tatizo hasa la Shirika hili ni nini? Kwa nini Precision ifanye vizuri hivi na shirika la taifa lishindwe?  Na bado serikali iko katika mchakato wa kulimwagia "vitendea kazi na mtaji" mpya. Shirika hili litaendelea kutafuna mabilioni ya walipa kodi mpaka lini? Kwa nini tunazidiwa hata na vinchi vidogo kama Burundi na Rwanda?

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA