TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, August 26, 2011

IOM yaendelea juhudi za kuwakwamua wahamiaji waliokwama Libya

11:34 PM
Shirika la Kimataifa la uhamiaji IOM limetuma boti yake ya pili nchini Libya kwa ajili ya kuwakwamua wahamiaji waliokwama kwenye eneo hilo kufuatia mapigano ambayo sasa yamefikia kwenye kitovu cha kuangusha utawala wa Gaddafi. Boti hiyo imeanza kuondoka toka katika mji wa Benghazi ulioko kaskazini mwa Libya na kuelekea katika mji mkuu Tripoli.
Ndani yake imesheheni huduma mbalimbali ikiwemo madawa, huduma za dharura pamoja na mahitaji mengine muhimu. Zaidi ya wafanyakazi 50 wameambatana na boti hiyo kwa ajili ya kutoa misaada ya kibinadamu. Boti hiyo inatazamiwa kutia nanga mjini Tripoli mwishoni mwa juma hili
(JUMBE OMARI JUMBE NI MSEMAJI WA IOM)

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA