TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, May 21, 2011

Mwakilishi wa TBL Mkoa wa Iringa,Bw. Changwe Masumbuko akikabidhi kombe kwa nahodha wa timu ya Chuo kikuu cha Ruaha ambao ndio walikuwa mabingwa wa Safari Higher Learning ngazi mkoa yaliyomalizika siku za hivi karibuni huko mkoani Iringa.

7:47 AM

Safari Higher Learning Pool yafana mkoani Iringa hivi Karibuni
Mwakilishi wa TBL Mkoa wa Iringa,Bw. Changwe Masumbuko akikabidhi kombe kwa nahodha wa timu ya Chuo kikuu cha Ruaha ambao ndio walikuwa mabingwa wa Safari Higher Learning ngazi mkoa yaliyomalizika siku za hivi karibuni huko mkoani Iringa.
Mchezaji wa timu ya chuo kikuu cha Tumaini Mkoani Iringa akiwa katika hekaheka za mashindano ya vyuo vikuu ngazi ya mkoa wa Iringa.
Mwakilishi wa TBL Mkoa wa Iringa,Bw. Changwe Masumbuko akifanya uzinduzi wa fainali za Mashindano ya Safari Pool mkoa wa Iringa kabla ya kuanza kwa mashindano hayo hivi karibuni.
Chuo kikuu cha Ruaha kikiwa katika kushangilia ushindi wa Mkoa wa Iringa

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA