Safari Higher Learning Pool yafana mkoani Iringa hivi Karibuni
Mwakilishi
wa TBL Mkoa wa Iringa,Bw. Changwe Masumbuko akikabidhi kombe kwa
nahodha wa timu ya Chuo kikuu cha Ruaha ambao ndio walikuwa mabingwa wa
Safari Higher Learning ngazi mkoa yaliyomalizika siku za hivi karibuni
huko mkoani Iringa.
Mchezaji
wa timu ya chuo kikuu cha Tumaini Mkoani Iringa akiwa katika hekaheka
za mashindano ya vyuo vikuu ngazi ya mkoa wa Iringa.
Mwakilishi
wa TBL Mkoa wa Iringa,Bw. Changwe Masumbuko akifanya uzinduzi wa
fainali za Mashindano ya Safari Pool mkoa wa Iringa kabla ya kuanza kwa
mashindano hayo hivi karibuni.
Chuo kikuu cha Ruaha kikiwa katika kushangilia ushindi wa Mkoa wa Iringa




0 comments:
Post a Comment