Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadiki (kulia) pamoja na
baadhi ya viongozi, wakiwa kwenye shughuli ya mazishi wa
aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, Sheikh Yahya, aliyefariki dunia jana
jijini na anatarajia kuzikwa leo kwenye makaburi ya Tambaza.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
(kushoto) akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kuomba dua
maalum kwa ajili ya marehemu Sheikh Yahya Husein, aliyefariki dunia
jijini Dar es Salaam jana,dua hiyo ilifanyika nyumbani kwa marehemu
Magomeni Mwembechai leo Mei 21. Maziko yatafanyika kwenye makaburi ya
Tambaza leo.
Baadhi
ya wanafunzi waliofundishwa na Marehemu Sheikh Yahya, wakiwa kwenye
shughuli za mazishi nyumbani kwa marehemu Magomeni Mwembechai leo Mei
21.
0 comments:
Post a Comment