TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, May 21, 2011

Mnajimu-Sheikh Yahya Husein kuzikwa leo makaburi ya Tambaza Dar es Salaam

3:13 PM

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadiki (kulia) pamoja na baadhi ya viongozi,  wakiwa kwenye shughuli ya mazishi wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, Sheikh Yahya, aliyefariki dunia jana jijini na anatarajia kuzikwa leo kwenye makaburi ya Tambaza.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kushoto) akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kuomba dua maalum kwa ajili ya marehemu Sheikh Yahya Husein, aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam jana,dua hiyo ilifanyika nyumbani kwa marehemu Magomeni Mwembechai leo Mei 21. Maziko yatafanyika kwenye makaburi ya Tambaza leo.
Baadhi ya wanafunzi waliofundishwa na Marehemu Sheikh Yahya, wakiwa kwenye shughuli za mazishi nyumbani kwa marehemu Magomeni Mwembechai leo Mei 21.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA