| Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha Mary
Chatanda (pichani) ambaye pia ni mbunge wa viti maalumu amegoma
kujiuzulu licha ya kutakiwa kufanya hivyo na umoja wa vijana wa CCM
(UVCCM) mkoa wa Arusha. Akizungumza na mwandishi wa TBC mkoani Arusha
Mary Chatanda amesema hatojiuzulu kwa shinikizo la vijana kwani vijana
wanaotaka aziuzulu wana sababu zao binafsi na hawajua kanuni za chama.
Ameongeza kusema kuwa yeye amechaguliwa na,mkutano mkuu wa CCM hivyo
hawezi kujiuzulu kwa majungu ya UVCCM: (Chanzo:TBC Taifa) |
0 comments:
Post a Comment