
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed
Shein,akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyakazi
Zanzibar,(ZATUC),ukiongozwa na Bwana Khamis Mwinyi Mohamed, pamoja na
Uongozi wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na
Ushirika,ukiongozwa na Waziri Mhe,Haroun Ali Suleiman,(kulia) walipofika
Ikulu Mjini Zanzibar,kwa mazungunzo na Rais,leo.

Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed
Shein,akipata maelezo kutoka kwa Makamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya
Wafanyakazi Zanzibar, (ZATUC),Bwana Khamis Mwinyi Mohamed,pamoja na
ujumbe wake na Uongozi wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
na Ushirika, ukiongozwa na Waziri Mhe,Haroun Ali Suleiman,walipofika
Ikulu Mjini Zanzibar,kwa mazungunzo na Rais,leo.Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu,Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment