TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, April 30, 2011

Rais Dk Shein akiendelea na ziara yake nchini uturuki leo.

7:29 PM


Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, Pamoja na Ujumbe wake wakiangalia MIchungwa Iliyoteshwa kwa utaalamu maalum,ikiwa tayari inatoa machungwa kwa muda wa miezi miwili,katika kituo cha utafiti wa kilimo cha Batem,Mjini Antaliya nchini uturuki kwa katika ziara ya Mualiko wa Serikali ya Nchi hiyo.,(kushoto) ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Batem Dr Suat Yilmaz.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akipata maelezo na MKurugenzi Dr Suat Yilmaz,wa Taasisi ya Batem,wakati alipotembelea kituo cha utafiti wa mazao ya kilimo ,katika mji wa Antaliya nchini Uturuki leo,alioangalia badhi ya tafiti mbali mbali za mazao katika kituo hicho.
Picha na Ramadhan Othman Uturuki.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA