TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, August 9, 2010

fatma ndiye vodacom miss lake zone 2010

11:45 PM

Vodacom Miss lake Zone 2010 Fatma Ibrahim kutoka Mara akitabasamu baada ya kutawazwa kuwa malkia wa taji hilo, kushoto ni mshindi wa pili Buduli Ibrahim kutoka Shinyanga, Kulia ni Margreth Godson mshindi wa tatu kutoka Shinyanga. Shindano hilo lilifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Natiro Annex Capripoint jijini Mwanza

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA