TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, June 15, 2010

Ajari nyingine magomeni mikumi leo

11:05 PM

Gari zikiwa zimepandana mara baada ya lori la mchanga kufeli breki na kugonga gari lililokuwa mbele yake na kupelekea gari hilo kugonga la mbele yake na kuendelea.ajali hii imetokea leo majira ya saa nane mchana maeneo ya magomeni mikumi.hakuna aliepoteza maisha katika ajali hii.wananchi waliofika katika ajali hiyo wakiangalia jinsi magari yalivyoharibika vibaya mara baada ya kutokea kwa mzinga huo.lori lililosababisha ajali ya magari yapatayo 6 likifanyiwa matengenezo mara baada kuzimika katika mzinga huo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA