TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, April 30, 2010

BUNGE LA CHUO HURIA LAFUNGULIWA LEO MOSHI,KILIMANJARO

8:04 PM

Mgeni rasmi,mshauri wa maendelo ya jamii mkoa wa kilimanjaro,Paul shayo katikati, akiwa na vigogo wa chuo kikuu huria..kulia ni naibu mkuu wa chuo hicho taaluma,Profesa Elifas Bisanda.

Mziray, watu wa soka wanamfahamu sana huyu jamaa, mpaka timu ya taifa kafundisha,vigogo simba na yanga kafundisha, kwa sasa anatoa darasa kwa madenti wa Chuo kikuu Huria, pia alikuwepo.

Mazimu(blogger) nikimpa kampani ya msosi Rodrick makundi(mwandishi wa magazeti ya uhuru na mzalendo)...me nilikuwa nimeshiba ingawa nilikula kidogooooo, makundi yeye mh alitandika kisawasawa.

Mmoja wa wabunge wa bunge la wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria(OUT)akichangia hoja...bunge hilo limefunguliwa na mshauri wa mkoa wa Kilimanjaro wa masuala maendelo ya jamii,Paul shayo kwa niaba ya mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Monica Mbega.
Mkurugenzi wa mawasiliano na masoko wa Chuo Kikuu Huria, kulia akinielezea jambo(mazimu) kuhusu hizo computer...eti zimeletwa 10 kwenye kituo cha Kilimanjaro, ambazo zitarahisisha usomaji kwa wanafunzi wa chuo hicho.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA