Naibu waziri wa michezo wa chuo kikuu cha DSM KAYUMBA TOROKOKO kulia na meneja wa bia ya safari FIMBO BUTALLAH .
BUTALLAH amesema mashindano hayo yatashirikisha vyuo vikuu kumi na vyuo vya kati kumi ambapo jumla ni vyuo ishirini kutoka jijini DSM
Amesema mashindano hayo yatafanyika katika fukwe za coco beach ambapo naibu waziri wa habari utamaduni na michezo JOEL BENDERA atafunga mashindano hayo.
Bingwa katika mashindano hayo atajinyakulia milioni moja na mshindi wa pili laki sita wakati mshindi wa tatu laki nne huku washindi wa mmoja mmoja bingwa atajinyakulia shilingi laki mbili ,wa pili laki moja na nusu ,wa tatu laki moja na mchezaji bora wa kike na kiume watajinyakulia shilingi
0 comments:
Post a Comment