TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, February 7, 2010

23 comments:

Haji Gae said...

Matokeo hayafunguki

Haji Gae said...

hayafunguki

Anonymous said...

Msitudanganye matokeo bado kwenye in'nent

Anonymous said...

mbona matokea hayafunguki

Anonymous said...

mbona tumeambiwa leo kwenye net yanatoka

Anonymous said...

tunaomba muweke wazi matokeo ya kidato 4 ili watoto wafanye maamuzi mapema kama ni kurudia au kuangalia njia nyikngine.

jaribu kuwahurumia watu wanao risti ili nao wajikomboe mitihani ni migumu sana.

Anonymous said...

wazinguaji bhana, matokeo bdo bhanaaa

Anonymous said...

acheni kuwapa presha watoto , matokeo bado, na yakija yatakuwa mazuri

Anonymous said...

kama vp tupeni tarehe kamili mbona mnazingua????????????

Anonymous said...

hihihihihihihi...

Anonymous said...

ACHA KUPATA PRESSURE MATOKEO YATATOKA, LA ZAIDI NI KUENDELEA KUMUOMBA MUNGU, AWAPE UVUMILIVU. ZAIDI KILA MTU ATAVUNA ALICHO PANDA.

Anonymous said...

mbona mna2rushia stimu

Anonymous said...

we are eagerly waiting for our results, when will NECTA release?

Anonymous said...

acheni uzushi

Anonymous said...

muache uongo basiiii matokeo haya funguki

Unknown said...

tupeni matokeo

Anonymous said...

oya acheni kutusumbua kwa kuweka heading za kitu kinachosubiriwa na wengi alafu hamna kitu!!Acha ubwege...

Anonymous said...

Ahh! hii kweli ndo bongo mbona hivi jamani?

Anonymous said...

Acheni hizo bwana Presha inapanda Presha inashuka.

Anonymous said...

msituzengue lakini yakiwekwa mtujulishe

Anonymous said...

Huu ni ubabaishaji hakuna matokeo hapa

Unknown said...

Tanzania inajivunia na matokeo mazuri ya kuapgrade,ukweli elimu ya bongo sasa ipo juu,namuona mhe wazri anafuraha sana lakini naomba sana tusiingze siasa kwenye elimu ndio maana sasa tunaupgrade matokeo ya wanafunzi.

Unknown said...

Tanzania inajivunia na matokeo mazuri ya kuapgrade,ukweli elimu ya bongo sasa ipo juu,namuona mhe wazri anafuraha sana lakini naomba sana tusiingze siasa kwenye elimu ndio maana sasa tunaupgrade matokeo ya wanafunzi.

Post a Comment

 
BONYA HAPA