TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, December 7, 2009

THE WINNER OF BIG BROTHER AFRICA REVOLUTION 2009 IS..............KELVI

11:31 AM
Hapa akiwa haamini kilichotokea kwani alilala chini baada ya kutangazwa kuwa yeye ndiye mshindi wa BBA REVOLUTION na kujinyakulia kitita cha dollar 200,000 na cha kuvutia zaidi Kelvin baada ya kupanda jukwaani alivaa Jezi ya Tanzania na kufanya ashangiliwe zaidi na Umati uliohudhuria sherehe hiyo,Hongera kaka sisi Watanzania tunakupenda kwa kututangazia Nchi yetu Ulimweguni

KELVIN akiwa pamoja jukwaani na mwendesha shughuri nzima ya BBA muda mfupi baada ya kutoka ndani ya Mjengo wa BBA

EMMA kutoka Angola ndiye mshiriki pekee wa kike aliyeingia tatu bora, alishika nafasi ya PILI

Mshiriki aliyeshika nafasi ya Tatu,EDWARD'EDDY' kutoka Namibia akiwa jukwaani muda mfupi baada ya kutoka

Mshiriki aliyeshika nafasi ya NNE NZAMO kutoka Malawi muda mfupi baada ya kutoka ndani ya nyumba

NKENNA mshiriki kutoka Nigeria alishika nafasi ya Tano, yeye ndiye alikuwa wa kwanza kutoka katika washiriki watano walioingia fainali

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA