Hapa akiwa haamini kilichotokea kwani alilala chini baada ya kutangazwa kuwa yeye ndiye mshindi wa BBA REVOLUTION na kujinyakulia kitita cha dollar 200,000 na cha kuvutia zaidi Kelvin baada ya kupanda jukwaani alivaa Jezi ya Tanzania na kufanya ashangiliwe zaidi na Umati uliohudhuria sherehe hiyo,Hongera kaka sisi Watanzania tunakupenda kwa kututangazia Nchi yetu Ulimweguni
KELVIN akiwa pamoja jukwaani na mwendesha shughuri nzima ya BBA muda mfupi baada ya kutoka ndani ya Mjengo wa BBA
EMMA kutoka Angola ndiye mshiriki pekee wa kike aliyeingia tatu bora, alishika nafasi ya PILI
Mshiriki aliyeshika nafasi ya Tatu,EDWARD'EDDY' kutoka Namibia akiwa jukwaani muda mfupi baada ya kutoka
Mshiriki aliyeshika nafasi ya NNE NZAMO kutoka Malawi muda mfupi baada ya kutoka ndani ya nyumba
NKENNA mshiriki kutoka Nigeria alishika nafasi ya Tano, yeye ndiye alikuwa wa kwanza kutoka katika washiriki watano walioingia fainali
0 comments:
Post a Comment