TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, November 19, 2009

WANAMUZIKI NA WAIGIZAJI WA TANZANIA WAFANYA KIKAO CHA PAMOJA

8:13 PM
Bwana Benny Sitta naye alijumuika na sisi kama mdau ndani ya kikao hicho

Dada Luiza Mbutu mwanamziki wa bendi ya Twanga Pepeta naye alikuwepo kwenye kikao cha kujadili jinsi wanavyoibiwa kazi zao..

Ambwene Yesaya (AY) mwanamziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva )naye alikuwepo katika kikao hicho

Mzee Kasimu Mapili mzee wa enzi zileee ni mwanamziki wa zamani sana huyu naye alikuwepo kutoa busara na hekima zake, Waswahili wanasema utu uzima dawa....

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA