Bwana Benny Sitta naye alijumuika na sisi kama mdau ndani ya kikao hicho
Dada Luiza Mbutu mwanamziki wa bendi ya Twanga Pepeta naye alikuwepo kwenye kikao cha kujadili jinsi wanavyoibiwa kazi zao..
Ambwene Yesaya (AY) mwanamziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva )naye alikuwepo katika kikao hicho
Mzee Kasimu Mapili mzee wa enzi zileee ni mwanamziki wa zamani sana huyu naye alikuwepo kutoa busara na hekima zake, Waswahili wanasema utu uzima dawa....
0 comments:
Post a Comment