TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, November 21, 2009

Viongozi Afrika Mashariki watia saini

3:02 PM
Jumuiya ya Afrika Mashariki imeadhimisha miaka 10 huku viongozi wake wakitia saini mkataba wa soko la pamoja la jumuiya hiyo mjini Arusha,Tanzania.

Marais wa Kenya, Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi wamekubaliana kuwepo kwa biashara huru na kuvuka kwa watu kutoka nchi moja hadi nyengine bila ya vizuizi katika eneo lote.

Inatarajiwa kuwa mkataba huo utaongeza ushawishi wa kiuchumi katika eneo hilo.Soko hili la pamoja linatarajiwa kuanza mwezi Julai mwaka 2010.

Jumuiya ya Afrika Mashariki ilizinduliwa miaka 10 iliyopita na jumla ya idadi ya watu ni milioni 120.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA