TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, November 17, 2009

Mbunge wa Same Mashariki alivyolilia wapika kura wake Goha

10:30 PM
Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela akilia kwa uchungu juzi baada ya kufika kijiji cha Goha kulipo tokea maporomoko na kuuwa watu 24 Wilayani Same. Anne Kilango akitembezwa katika eneo la maafa kijiji cha Goha Kitongoji cha Manka.
Anne Kilango akiomba dua ya kuwaombea Mareheme Mungu awabariki...
Msafara wa kumpokea Mbunge wao ulipokuwa ukiteremka...Viroba vya Sukari vya msaada vikishushwa.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA