Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru (shoto) na Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja wa rejareja wa KCB Felix Mlaki (kulia) wakimkabidhi Tuzo Milionea 2009 Renatus Mkinga na mai waifu wake Kiticha chake cha shilingi milioni 100 mchana huu katika hoteli ya Kempinski Dar.
0 comments:
Post a Comment