katika wale waliotajwa kushindania tuzo za muziki za video za chanall o (chanall o video music awards)siku ya tarehe 14 ya mwezi huu kutoka tanzania tumebahatika kuwa na video ya AY NA FA NAONGEA NA WEWE kundi la BEST DUO OR GROUP, na video ya BLACK RHYNO inayoitwa BLACK CHATTA upande wa BEST HIPHOP VIDEO. Habari kwa mujibu wa Dee Jay Fatty mtembelee kwenye Kali na Mpya za Bongo ambapo utapata habari kadha wa kadha juu ya wasanii wa Bongo. Je wajua kuwa Ray C na Lord Eyes uhusiano umekufa? Gonga hapa usome zaidi.
0 comments:
Post a Comment