TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, July 19, 2009

AJALI YA TRENI DODOMA

2:58 PM
AJALI YA TRENI DODOMA
Habari toka dodoma zinasema treni mbili za mizigo zimegongana uso kwa uso asubuhi hii karibu na stesheni ya zuzu nje kidogo nje kidogo ya mji wa Dodoma katika reli ya kati. Kwa mujibu wa Mganga Mkuu wa mkoa, jumla ya majeruhi saba wamefikishwa hospitali kwa matibabu na hadi sasa mmoja ameshalazwa na wengine wanapata vipimo vya x-ray kabla ya kuamuliwa kama walazwe ama waruhusiwe. Hadi sasa chanzo cha ajali hiyo hakijafahamika. Treni moja ilikuw inatoka Dodoma kuelekea Tabora na nyingine ilikuwa inatokea Tabora kuelekea Dodoma. Hii inakuwa ajali nyingine ya tatu katika Mkoa huo katika kipindi kifupi

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA