TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, March 11, 2012

TANZANIA STUDENTS ASSOCIATION OF BANGALORE GRADUATION ILIVYOFANA JANA.

7:43 PM
Mdau DEO LYATUU akiwa amekula ndonozzz yake ya Barchelor of business management university of bangalore hongera sana 

Deo na hartman wakipongezana
baada ya kula nondozzz zao katika hali ya furaha
jumla ya watanzania 49 walikula nondozz zao katika shahada mbalimbali
hongereni sana ndo stage ya kwanza mapambano ndo yameanza
nyuso za furaha
mdau msafiri mwanzo kulia akiwa amekula nondozz yake ya Barchelor of computer application
Hongera sana DEO na MIRABEL

VILLAN MUHAGAMA amekula nondozz yake ya BSc hongera sana

2 comments:

Uncle Bard said...

kaka umekuwa hadimu sana umekuwa kimya nasa funguka mkuu...nice picture...

kilinyepesi said...

NIPO BANA MASSAWE

Post a Comment

 
BONYA HAPA