ADMISSIONS ARE NOW OFFICIALLY OPENED, CONTACT US FOR ENQUIRIES ON: SCHOLARSHIPS, UNIVERSITIES AND COURSES. APPLY NOW


Branches: ZANZIBAR, MWANZA, MOSHI, MOROCCO, MBEZI, TANGA, MASAKI, ARUSHA CITY, DAR-ES-SALAAM, DODOMA, ARUSHA MAIN, MAGOMENI, KARIAKOO, MBEYA, NYERERE ROAD, MBAGALA

Wednesday, February 29, 2012

EVANCE BUKUKU COMEDY ILIVYO PENDEZA NYUMBANI LOUNGE JANA


Mchekeshaji Maarufu Nchini,Evans Bukuku akikafanya vitu vyake usiku huu katika kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,Namanga jiji Dar wakati wa Shoo yake ya kuvunja mbavu za watu (kucheka) iliyomalizika muda mfupi uliopita.

Evans Bukuku akiendele na Libeneke lake la kuchana mbavu za watu.
Evans akiigiza kama DJ.
Dogo Pepe nae kama kawaida yake,akipanda jukaani lazima mkome wenyewe kwa vituko vyake.
Evans na Mshkaji wake wakuruka nae majoka (kucheza muziki).
Enika akiimba nyimbo zake za kuchekesha.
MC Taji Liundi akiwa Libenekeni usiku huu.
Mtangazaji wa Radio Clouds FM,Adam Mchomvu a.k.a Baba John nae alipata wasaha wa kupanda jukwaani na kutoa hadithi yake ya kuchekesha.
picha na jiachie Blog

0 comments:

Post a Comment