TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, December 25, 2010

mji wa wachagga leo patupu watu wanakula mbusii....

6:18 PM

Moshi ni kati ya miji inayoaminika kuwa na wageni wengi hasa kipindi cha siku kuu za Mwaka mpya, lakini hali huwa tofauti siku ya Krisimasi. Wageni na wenyeji wengi ambao husababisha mji kuwa na pilikapilika huishia kwenda milimani 'Kuhesabiwa' na kuacha mji kutokuwa na watu kama wapo basi ni mmoja mmoja tu kama taswira hizi za leo zinavyoonesha. Juu ni kwenye mzunguko wa makutano ya barabara za Boma,Double road, na Railway road
Mji mtupuuu..
Magari hamna kabisa leo
Noeli day Moshi town
Barabara ya Boma road.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA