Moshi ni kati ya miji inayoaminika kuwa na wageni wengi hasa kipindi cha siku kuu za Mwaka mpya, lakini hali huwa tofauti siku ya Krisimasi. Wageni na wenyeji wengi ambao husababisha mji kuwa na pilikapilika huishia kwenda milimani 'Kuhesabiwa' na kuacha mji kutokuwa na watu kama wapo basi ni mmoja mmoja tu kama taswira hizi za leo zinavyoonesha. Juu ni kwenye mzunguko wa makutano ya barabara za Boma,Double road, na Railway road
0 comments:
Post a Comment