TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, April 30, 2010

TAIFA STARS JUMAMOSI WIKI HII KUKIPIGA NA RWANDA KATIKA UWANJA MPYA WA TAIFA

7:39 PM



Kocha wa timu ya STARS MARCIO MAXIMO pamoja na meneja uhusiano wa SERENGETI TEDDY MAPUNDA
Katibu mkuu wa TFF FREDRICK MWAKALEBELA kulia , akiwa na kocha wa stars MAXIMO pamoja na mdhamini kutoka SERENGETI TEDDY MAPUNDA.

Kocha MAXIMO amesema kikosi kipo imara kwa ajili ya mchezo huo wa kufuzu fainali za michuano ya CHAN iliyopangwa kufanyika nchini SUDAN ,lakini amesema mazoezi hayakuwa mazuri kutokana na mvua kunyesha bila kukatika.

Amesema licha ya mvua kuharibu mazoezi hayo lakini timu ipo safi kushinda mchezo huo.

Pia amewataka watanzania kujitokeza kwa wingi siku ya mchezo ili kuwahamasisha wachezaji waweze kufanya vizuri katika mchezo huo.

STARS inacheza mchezo wa pili baada ya mchezo wa awali kushinda kwa kuifunga timu ya SOMALIA magoli sita kwa bila katika mchezo uliofanyika uwanja wa UHURU JIJINI DSM.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA