Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi (kushoto), Mwenyekiti wa Exim Benki , Yogesh Manek na Mkurugenzi Mtendaji wa Exim Benki Sabetha Mwambenja wakifurahi baada ya kuzindua tawi la Ubungo jana. Wa pili kutoka Kulia ni Meneja wa Benki hiyo, Nancy Huggins.(Na Mpigapicha Wetu)TAWI JIPYA LA EXIM LAZINDULIWA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi (kushoto), Mwenyekiti wa Exim Benki , Yogesh Manek na Mkurugenzi Mtendaji wa Exim Benki Sabetha Mwambenja wakifurahi baada ya kuzindua tawi la Ubungo jana. Wa pili kutoka Kulia ni Meneja wa Benki hiyo, Nancy Huggins.(Na Mpigapicha Wetu)
0 comments:
Post a Comment