TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, December 14, 2009

bonanza la michezo kusherehekea Uhuru Day lafana New Delhi

12:57 AM
Mh_Balozi Mhandisi John Kijazi akifurahia kombe la ushindi ambalo timu ya Ubalozi wa Tanzania India ulishinda kabla hajalikabidhi kwa timu captain. Katika kusherehekea Uhuru wa Tanzania Jumuiya ya wanafunzi wanaosoma India na Ubalozi wa Tanzania nchini humo uliandaa bonanza la michezo nyumbani kwa balozi ambalo lilifana sana.
mbio za 'vipofu' zikikaribia kuanza
mashindano ya kula maandazi yanayoning'inia
shindano la kuvuta kamba kati ya timu ya
wanafunzi na wafanyakazi wa ubalozi. ngoma ilikuwa droo
kukimbia na ndimu
balozi akitoa mawili matatu kwa timu ya ubalozi kabla ya gemu

Mh Balozi Mhandisi John Kijazi akiwa Mwenyekiti wa Tasa Bi. Jennifer Sumi (kulia) na Makamu wa Rais Jane Balama wakishuhudia mchezo wa soka.
Timu kabambe ya wanafunzi kabla ya gemu
umoja na upendo kati ya wanafunzi na wafanyakazi wa ubalozi

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA